Mmonyoko wa fukwe tishio Wilaya ya Pangani

Published on by Boniventure Mchomvu

Miti kando ya bahari ikiwa imeanguka
Miti kando ya bahari ikiwa imeanguka

Habari kamili katika picha; ni eneo la Pangani mjini ambalo limekuwa likilika kwa kasi ya ajabu ambapo ndani ya kipindi cha miezi nane bahari imesosgea zaidi ya mita 50. hii ikiwa ni wastani wa mita 6.25 kwa mwezi.

Hali hii inatokana na kuongezeka kwa shughuli za binadamu baharini na katika fukwe amabzo hupelekea fukwe kushindwa kuhimili vishindo vya mawimbi ya bahari. Shughuli hizo ni kama uvuvi haramu, uendeshaji wa vyombo vya moto (magari na pikipiki) katika fukwe hususani eneo la Pangadeco.

Habari zaidi katika picha.

Miti katika fukwe ya Pangadeco (Pangani) ikiwa imeanguka baada ya kuliwa na maji ya bahari Miti katika fukwe ya Pangadeco (Pangani) ikiwa imeanguka baada ya kuliwa na maji ya bahari
Miti katika fukwe ya Pangadeco (Pangani) ikiwa imeanguka baada ya kuliwa na maji ya bahari

Miti katika fukwe ya Pangadeco (Pangani) ikiwa imeanguka baada ya kuliwa na maji ya bahari

Published on Environment

To be informed of the latest articles, subscribe:
Comment on this post