Mmonyoko wa fukwe tishio Wilaya ya Pangani
Habari kamili katika picha; ni eneo la Pangani mjini ambalo limekuwa likilika kwa kasi ya ajabu ambapo ndani ya kipindi cha miezi nane bahari imesosgea zaidi ya mita 50. hii ikiwa ni wastani wa mita 6.25 kwa mwezi. Hali hii inatokana na kuongezeka kwa...